![Inaweza kuwa picha ya Mtu 1 na jukwaa](https://scontent.fnbo1-1.fna.fbcdn.net/v/t39.30808-6/418874243_829898105848545_4154405221506949564_n.jpg?_nc_cat=106&ccb=1-7&_nc_sid=5f2048&_nc_eui2=AeFK9Kbkts3bYWlxErq8h4s3-NbVlCCR8Rv41tWUIJHxG061he4QgZOOwtOpBWp121piSUX7YOchiEA5xx_jJ2Ny&_nc_ohc=EC0dNVaWXXEAX-7KMWJ&_nc_ht=scontent.fnbo1-1.fna&oh=00_AfDlcrLPg_xJ20VzEWoKvEMO1kfOQorj90--5Ecwr3gh0Q&oe=660A73A4)
Aidha, amesisitiza Viongozi wa Mabunge wanachama kuona umuhimu wa kutoa taarifa za utekelezaji ndani ya Mabunge yao juu ya maazimio ya Mikutano Mikuu yanayopitishwa ili kuleta matokea chanya kwa jamii wanayoiwakilisha.
Vilevile amesema kuwa, IPU ni sehemu pekee ambayo Mabunge yanakutana kwa pamoja kupitisha maazimio yanayoihusu dunia na hivyo ni muhimu kwa Maspika wa Mabunge wanachama kuhudhuria Mikutano ya Umoja huo.
Mkutano wa 148 umehitimishwa rasmi jana huku ukiwa umehudhuriwa na takribani misafara ya Mabunge zaidi ya 145.
#KonceptTvUpdates
![](https://scontent.fnbo1-1.fna.fbcdn.net/v/t39.30808-6/434594802_829898142515208_5664111639923946108_n.jpg?stp=dst-jpg_s600x600&_nc_cat=103&ccb=1-7&_nc_sid=5f2048&_nc_eui2=AeE7aH6TPBsQ5T4vkKg9RtxsOX3Y8COAyVs5fdjwI4DJW7ROFa729K0hfi7v8hJHQK2WrSBXi7I8Z0a-aG3D6oG9&_nc_ohc=lqsRDl2dFG4AX8bkpfY&_nc_ht=scontent.fnbo1-1.fna&oh=00_AfBgZQBuOi5GML-S-0CsjTGY8lI1PRZy03dGpT0QN9K8Gg&oe=660A39EE)