Mzee Yusuf akimchombeza mkewe, Leila Rashid.
Mashabiki waliopanda stejini kumtunza Mzee Yusuf wakijiachia kwa raha zao.
wa mipasho nchini, Khadija Kopa, kutoka T.O.T akiwapagawisha mashabiki
waliohudhuria Mitikisiko ya Pwani Dar Live Jumamosi.
Nyomi iliyohudhuria Tamasha la Mitikisiko ya Pwani.PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS / GPL
—
MALKIA wa mipasho nchini, Khadija Kopa, juzi (Jumamosi) alifunika
vilivyo katika Tamasha la Mitikisiko ya Pwani lililofanyika ndani ya
ukumbi wa kisasa wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar.
Tamasha hilo lilipambwa na makundi mbalimbali ya taarab yakiwemo
Jahazi, Coastal, TOT na mengineyo. Watangazaji mahiri kutoka Times
Radio wakiongozwa na Gardner G Habash na Khadija Shaibu ‘Dida’
walinogesha tamasha hilo na kulifanya liwe la kipeke