Mwigizaji Jack Wolper ambae kwasaa anaonekana kuwa ‘Bonge’ ,hivi karibuni alitangaza kuanza kufanya mazoezi ili aurudie mwili wake wazamani, toka aanze mazoezi amekuwa akitupia picha mtandaoni akiwa mazoezini.
![wolper6781](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/wolper6781.png)
Mashabiki wake wengi walikuwa wakimpa moyo kuwa aendelee kukomaa na mazoezi, wapo ambao waliona kama mwanadada japokuwani kweli anafanya mazoezi lakini lengo lake lingine ni kuonyesha watu tattoo zake alizojichora.
![wolper6611](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/wolper6611.png)
![WOLPERR56](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/WOLPERR56.png)