Ikiwa imebaki miezi michache kuelekea kuuanza msimu mpya wa BBA hapo mwezi Agost tarehe 10, bado washiriki wa BBA waliopita wamekuwa wakiendelea kufanya yao mtaani na kuiweka BBA iendelee kukaa akilini mwa watu. Hizi ni picha ambazo bimdada Dilish aliziachea kwenye mtandao ikiwa ni picha za siku ya pasaka.
![](http://3.bp.blogspot.com/-X3wpFWqAabw/U1UFT-qi0TI/AAAAAAAAMYY/d5izFlLituM/s1600/Screen+Shot+2014-04-21+at+3.17.56+AM.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pklkzVXTm0w/U1UFJcT798I/AAAAAAAAMYQ/3lOJSkNJ4F0/s1600/Screen+Shot+2014-04-21+at+3.17.38+AM.jpg)