![1_eed44.jpg](http://www.mjengwablog.com/images/1_eed44.jpg)
Jembe la kazi: Luis Suarez alikuwa nyota wa Mchezo Italia ikiifunga England mjini Sao Paulo.
![2_5c182.jpg](http://www.mjengwablog.com/images/2_5c182.jpg)
Suarez, ambaye alikosa mechi ya ufunguzi ya Uruguay akishangilia bao la kwanza Sao Paulo.
LUIS
Suarez amekiri kuwa magoli yake mawili ambayo yamewaacha England njia
panda katika fainali za kombe la dunia ni kisasi kitamu kutokana na
ukosoaji waliofanya juu yake wakati anacheza ligi kuu ya nchi hiyo.
Suarez amekiri kuwa magoli yake mawili ambayo yamewaacha England njia
panda katika fainali za kombe la dunia ni kisasi kitamu kutokana na
ukosoaji waliofanya juu yake wakati anacheza ligi kuu ya nchi hiyo.
Nyota
huyo wa Uruguay na Liverpool alifungiwa kwa kumfanyia ubaguzi wa rangi
beki wa kushoto wa Ufaransa na Manchester United, Patrice Evra. Pia
kitendo chake cha kumung`ata kwa meno beki wa Chelsea, Branislav
Ivanovic kilimufanya afungiwe katika msimu wa utata kwake nchini
England.
huyo wa Uruguay na Liverpool alifungiwa kwa kumfanyia ubaguzi wa rangi
beki wa kushoto wa Ufaransa na Manchester United, Patrice Evra. Pia
kitendo chake cha kumung`ata kwa meno beki wa Chelsea, Branislav
Ivanovic kilimufanya afungiwe katika msimu wa utata kwake nchini
England.
Baada
ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya England, Suarez, ambaye alicheza mechi
yake ya kwanza tangu afanyiwe upasuaji wa goti alisema: “Niliota jambo
hili, Nafurahia muda huu, kwasababu ya yote niliyoumia, ukosoaji
niliopokea. Kwahiyo, mnaondoko.”