Mkongwe wa Muziki toka Uingereza,Sir Elton John amefunguka kuwa ana mpango wa kumshirikisha Artist Justin Timberlake kwenye ‘Biopic’ yake aka movie inayohusu life story yake
JUSTIN RANDALL TIMBERLAKE
Kwa sasa kila kitu kiko kwenye mstari,na Director na crew nzima iko tayari wanasubiri script tu waanzae mambo na movie hiyo itakua na track zake mpya na Justin Timberlake,amekua chaguo lake la kwanza coz alisha act kwenye video ya Elton John ya David LaChapelle ‘Rocket Man’ na Elton john amechaguliwa kuwania tuzo kwenye Golden Globe zitakazofanyika January 15,2012 kupitia track yake ya Hello, Hello na ana mtoto wa kuasili yeye na ‘husband wake’ David Furnish aitwaye Zachary,aliyezaliwa December 25,2010